Showing posts with label Meeting. Show all posts
Showing posts with label Meeting. Show all posts

Tuesday, July 1, 2014

Superwoman by Networking In Heels @ Sarova Stanley

Nairobi's premier ladies-only, non-membership networking event, for women in various careers, businesses and work backgrounds to meet and greet.

Date: 3rd July 2014
Time: 6-9 PM
Venue: Sarova Stanley 
Charges: Ksh 2,200 (Advance) Ksh 2,500 (At The Door)

Monday, June 3, 2013

Mjadala wa WaTanzania UK Wafana

Kamati iliyoandaa mjadala wa waTanzania uliofanyika Reading University siku ya Jumamosi tarehe 01-06-2013 inapenda kuwashukuru sana waTanzania wote waliohudhuria. Mjadala ulikuwa wa mafanikio ulioleta changamoto ya pekee kwa watu wengi sana. Japokuwa washiriki walitoka kwenye vyama mbali mbali, dini tofauti tofauti, makabila tofauti, elimu tofauti, n.k., wakati wa mjadala kilichotawala na kuonekana dhahiri ni uTanzania. WaTanzania walionesha mshikamano wa hali ya juu kwa kuchambua topics kwa kuheshimiana na kwa weledi mzuri. Wachangiaji walionesha uelewa mkubwa katika mambo mengi sana.

Tuesday, May 28, 2013

Mkutano wa CHADEMA UK na Mjadala wa waTanzania





Napenda kukumbusha kuhusu mjadala mkubwa na wa kihistoria wa waTanzania utakaofanyika 3Sixty, University of Reading siku ya tarehe 01/06/2013.


Kwa taarifa tu, kutakuwa na usafiri kwa wale watakaohitaji. Usafiri wa basi utaanzia London saa 4:00 (nne kamili) asubuhi. Kama unahitaji huduma hii unashauriwa kuwasiliana na Bernad Irondo kwenye namba hii: 07804804963 kabla ya siku ya Jumatano tarehe 28/05/2013.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...